Home » » MABADILIKO YA MANDHARI YA DAR ES SALAAM,JE YATAPUNGUZA FOLENI ....?

MABADILIKO YA MANDHARI YA DAR ES SALAAM,JE YATAPUNGUZA FOLENI ....?


Wakati eneo hili la Manzese lililopojengwa daraja watu walishangaa wakati barabara zikiwa nnne tu, sasa hapa ujenzi unaendelea kufanya njia sita na mabasi ya haraka. 
Je wananchi wataweza kutumia barabara hizi bila ya kupatiwa elimu,kabla ya kumalizika kwa ujezi huo ?
 Ni Muonekano Wa Barabara hapo zikiwa zimekamilika.
Kwa muonekano wa picha hii wakazi wote wataweza kupata huduma kwa muda unao stahili.

0 comments:

 
Supported byBlogs za Mikoa
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa