Home » » JUST IN:Bibi Tumpe Samwel Mwaijande Mkurugenzi Mpya wa Idara ya Mazingira na Usalama wa Usafiri wa Majini.

JUST IN:Bibi Tumpe Samwel Mwaijande Mkurugenzi Mpya wa Idara ya Mazingira na Usalama wa Usafiri wa Majini.




YAH: UTEUZI WA KUJAZA NAFASI YA UONGOZI KATIKA WIZARA YA UCHUKUZI


 Katibu Mkuu Wizara ya Uchukuzi, Eng. Omar A. Chambo kwa Mamlaka

aliyonayo chini ya Kifungu Na. 6 (1) (b) cha Sheria ya Utumishi wa

Umma Na. 8 ya mwaka 2002, amemteua Bibi Tumpe Samwel Mwaijande kuwa

Mkurugenzi wa Idara ya Mazingira na Usalama wa Usafiri wa Majini.


Uteuzi huu unaanza tarehe 19/11/2012.



Imetolewa na;


KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI


19/11/2012

0 comments:

 
Supported byBlogs za Mikoa
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa