Home » » PAMOJA SANAA GROUP KUTEMBELEA WATOTO YATIMA MWENGE

PAMOJA SANAA GROUP KUTEMBELEA WATOTO YATIMA MWENGE



Wasanii wa kundi za sanaa za maigizo la Pamoja Sanaa Group la mkoani Dar es Salaam kesho wanatarajia kutembelea kituo cha watoto yatima Mwenge.
Katibu wa kundi hilo Manuary Mruma maarufu kwa jina la Mr. Nzoke amesema kuwa lengo la ziara hiyo ni kutoa msaada kwa watoto hao wanaoishi katika mazingira magumu.
Amesema hakuna namna nyingine ya kuonyesha fadhila za matunda wanayoyapata kutokana na sanaa zaidi ya kwenda kutoa msaada kwa watu wasiojiweza.
Wasanii hao wakiongozwa na uongozi wa kundi watafika katika kituo hicho majira ya saa nne asubuhi.
Blogzamikoa

0 comments:

 
Supported byBlogs za Mikoa
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa