Home » » UJUMBE WA MAKAMISHNA WA TUME YA UTUMISHI YA BUNGE ZIARANI AUSTALIA

UJUMBE WA MAKAMISHNA WA TUME YA UTUMISHI YA BUNGE ZIARANI AUSTALIA

 Ujumbe wa Makamishna wa Tume ya Utumishi ya Bunge ukiwa katika picha ya Pamoja na watumishi wa Bunge la Autralia
 Kamishna wa Bunge la Tanzania Mhe Mau Daftari akikabidhi zawadi ya picha ya Jengo la Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Katibu wa Bunge la Maseneta la Australia Dr.Rosemary Laing Mara walipofika Ofisini kwake kumsalimu. Wengine katika Picha ni Mhe. Hamad Rashid Mohamed na Mhe. Abdukarim Shah ambo wote ni Makamishina wa Tume ya Utumishi wa Bunge.Ujumbe wa makamishna wa Bunge la Tanzania upo Nchini, Australia kwa ziara ya Mafunzo
 Kamishna wa Bunge la Tanzania Mhe Mau Daftari akikabidhi zawadi ya picha ya Jengo la Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Katibu wa Bunge la wawakilishi la Australia Ndg. Bernard Wright  Mara walipofika Ofisini kwake kumsalimu. Wengine katika Picha ni Mhe. Hamad Rashid Mohamed na Mhe. Abdukarim Shah ambo wote ni Makamishina wa Tume ya Utumishi wa Bunge. Ujumbe wa makamishna wa Bunge la Tanzania upo Nchini, Australia kwa ziara ya Mafunzo

PICHA ZOTE NA OFISI YA BUNGE

0 comments:

 
Supported byBlogs za Mikoa
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa