Home » » WAANDISHI WA HABARI WAPEWA SEMINA KUHUSU MASHINE ZA KULIPA KODI

WAANDISHI WA HABARI WAPEWA SEMINA KUHUSU MASHINE ZA KULIPA KODI

Mkurugenzi wa huduma za kodi na elimu mamlaka ya mapato Tanzania (TRA)Bw.Richard Kayombo (kushoto)akizungumza na waandishi wa habari katika Hoteli ya Court Yard jijini Dar es salaam leo wakati wa ufunguzi wa semina ya siku moja kuhusu mfumo wa malipo kwa kutumia mashine za elektroniki ulioanza mwaka 2010.(katikati)Meneja huduma kwa mlipa kodi Bw.Alani Kiula(kulia) afisa elimu mwandamizi idara ya kazi za ndani Bi.Alvera Ndabagoye. SONY DSC 
Meneja wa elimu Dyana Masala (kushoto)akijibu maswali kutoka waandishi wa habari(katikati) Mkurugenzi wa huduma za kodi na elimu mamlaka ya mapato Tanzania Bw.Richard Kayombo(kulia) afisa elimu mwandamizi idara ya kazi za ndani Bi.Alvera Ndabagoye. SONY DSC 
Mtoa mada wa ambaye ni Ofisa mwandamizi mkuu wa idara ya elimu na huduma za kodi malaka ya mapato tanzania (TRA)Bw.Hamisi Lupeja akiwasilisha mada yake  mbele ya waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali hapa nchi semina hiyo ya siku moja iliyoandaliwa na mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) iliolenga kuwapa elimu wanahabari kuhusiana na matumizi ya mashine za elektroniki katika kulipa kodi. Pia semina hiyo ililenga kutoa elimu kwa wananchi namna ya umuhimu wa kudai risiti wakati wa manunuzi. Wanahabari wametumika kufikisha ujumbe kwa 
wananchi
  SONY DSC
waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali hapa nchini wakiwa kwenye semina wakifuatilia kwa umakini mada ilikuwa ikitolewa na mtoa mada namna ya matumizi ya mashine za elektroniki katika kulipa kodi.
 (PICHA ZOTE NA PHILEMON  SOLOMON WA FULLSHANGWE)

0 comments:

 
Supported byBlogs za Mikoa
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa