Home » » MAMLAKA YA MAJI SAFI NA MAJI TAKA JIJINI DAR ES SALAAM MNAPITA MITAANI KUTAZAMA MA TANK HAYA YANAVYOFUMUKA NA KUCHAFUA HALI YA HEWA MITAANI?

MAMLAKA YA MAJI SAFI NA MAJI TAKA JIJINI DAR ES SALAAM MNAPITA MITAANI KUTAZAMA MA TANK HAYA YANAVYOFUMUKA NA KUCHAFUA HALI YA HEWA MITAANI?


 Mtaa huu ukiwa unapitiwa na Maji Taka kama mkondo wa mto , tena kati kati ya makazi ya watu hali inayo sababisha Harufu mbaya kwa wakazi wanaoishi maeneo hayo ya pembezoni


 Hivi ndivyo Tank hili la maji taka lilivyo Fumuka na kumwaga maji hayo machafu ambayo yamesababisha kuchafua hali ya hewa ya eneo hilo na kusababisha usumbufu kwa watu waishio maeneo hayo

Maji haya Machafu yakielekea kusiko Julikana .

Wananchi wa eneo hili wamelalamika kuwepo kwa kufumuka kwa ma tank haya kila wakati bila ya kufanyiwa kazi. wameomba mamlaka ya maji safi na taka kuja kuwasaidia kuwaokoa kwa kunyonya maji hayo ili waepukane na Magonjwa ya Mlipuko

Picha zote na Dar es salaam Yetu

0 comments:

 
Supported byBlogs za Mikoa
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa