Rais Jakaya Kikwete (kushoto) na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jeneral
Davies Mwamunyange (katikati) wakimsikiliza Mkurugenzi wa Usalama wa
Taifa, Ramadhan Othman (wa pili kulia), walipokutana baada ya Waziri
Mkuu wa Thailand, Yingluck Shinawatra, kuondoka Uwanja wa Ndege wa
Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam j
Rais
Jakaya Kikwete, akiwa na mgeni wake, Waziri Mkuu wa Thailand, Yingluck
Shinawatra, wakipungia kikundi cha sanaa wakati wa hafla ya kumuaga
mgeni wake huyo, Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es
Salaam
PICHA NA IKULU

0 comments:
Post a Comment