Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
 akizungumza na Mwenyekiti wa Asasi ya Kisiasa ya Konrad Adenauer 
Foundation ya Ujerumani, ambaye pia ni Mbunge wa Bunge la Umoja wa 
Ulaya, Rais Mstaafu wa Bunge la Umoja wa Ulaya Dkt. Han-Gert Pottering 
(kushoto) kwa Makamu, aliyeongozana na Ujumbe wake wakati walipofika 
Ofisini kwa Makamu Ikulu jijini Dar es Salaam leo kwa mazungumzo.
Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
 akiwa katika picha ya pamoja na Mwenyekiti wa Asasi ya Kisiasa ya 
Konrad Adenauer Foundation ya Ujerumani, ambaye pia ni Mbunge wa Bunge 
la Umoja wa Ulaya, Rais Mstaafu wa Bunge la Umoja wa Ulaya Dkt. Han-Gert
 Pottering, aliyeongozana na ujumbe wake baada ya mazumzo yao 
yaliyofanyika Ofisini kwa Makamu Ikulu Dar es Salaam, leo.
PICHA NA OFISI YA MAKAMU WA RAIS 
 


 
 
0 comments:
Post a Comment