Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com
Home » » Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria yaenedelea na kazi zake Ofisi Ndogo za Bunge Dar

Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria yaenedelea na kazi zake Ofisi Ndogo za Bunge Dar

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala Mhe. Pindi Chana (Mb) akifanua jambo mbele ya wajumbe wa kamati wakati wa kupitia muswada wa Sheria ya marekebisho ya Sheria Mbalimbali ( Miscellaneous Amendment Act 2013) wakati wa vikao vya kamati vinavyoendelea Ofisi ndogo ya Bunge jijini Dar es Salaam.
Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala Mhe. William Ngereja (Mb) akijadili jambo na Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Pindi Chana (Mb) wakati wa kikao cha kamati hiyo kujadili muswada wa Sheria ya marekebisho ya Sheria Mbalimbali ( Miscellaneous Amendment Act 2013) Ofisi ndogo ya Bunge jijini Dar es Salaam leo.
Mhe. Tundu Lissu (Mb) ambaye pia ni mjumbe wa kamati hiyo akichangia jambo wakati wa kamati hiyo.
Mhe. Mustapha Akunay (Mb) nae akichangia.
Mhe. Abbas Mtemvu.Picha na Owen Mwandumbya wa Bunge

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa