Mwenyekiti
wa Kamati ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala Mhe. Pindi Chana (Mb)
akifanua jambo mbele ya wajumbe wa kamati wakati wa kupitia muswada wa
Sheria ya marekebisho ya Sheria Mbalimbali ( Miscellaneous Amendment Act
2013) wakati wa vikao vya kamati vinavyoendelea Ofisi ndogo ya Bunge
jijini Dar es Salaam.
Makamu
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala Mhe. William
Ngereja (Mb) akijadili jambo na Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Pindi
Chana (Mb) wakati wa kikao cha kamati hiyo kujadili muswada wa Sheria
ya marekebisho ya Sheria Mbalimbali ( Miscellaneous Amendment Act 2013)
Ofisi ndogo ya Bunge jijini Dar es Salaam leo.
Mhe. Tundu Lissu (Mb) ambaye pia ni mjumbe wa kamati hiyo akichangia jambo wakati wa kamati hiyo.
Mhe. Mustapha Akunay (Mb) nae akichangia.
Mhe. Abbas Mtemvu.Picha na Owen Mwandumbya wa Bunge
0 comments:
Post a Comment