Home » » TUKIO KATIKA PICHA: SHEREHE YA MIAKA 75 YA RAIS MSTAAFU, BENJAMIN MKAPA

TUKIO KATIKA PICHA: SHEREHE YA MIAKA 75 YA RAIS MSTAAFU, BENJAMIN MKAPA


 Mandhari ya ukumbi uliofanyika sherehe ya kumpongeza Rais Mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa ya kutimiza miaka 75, iliyofanyika kwenye ukumbi wa Msimbazi Center jijini Dar es Salaam,jana usiku.
 Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa, akijumuika na mkewe Mama Anna Mkapa na sehemu ya Familia yake kukata Keki, ikiwa ni ishara ya kupongezwa kwa kutimiza miaka 75.
 Shambra shambra ukumbini wakati wa sherehe hiyo......
 Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa,akizima mishumaa....KUSOMA ZAIDI BOFYA READ MORE

 Baadhi ya wageni waalikwa, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Mama Asha Bilal, (kushoto) Mama Zakia Bilal na baadhi ya viongozi, wakijumuika kumpongeza Mkapa.
 Zawadi ya Benjamin kutoka kwa marafiki zake wakaribu......
 sehemu ya wageni waalikwa......
 Wageni waalikwa .......
 wageni waalikwa......
 Msanii akitoa burudani.....
 Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa, akilishwa keki na mkewe Mama Anna Mkapa....
 Unyenyekevu....
 Baadhi ya wageni waalikwa.....
 Mkapa na keki yake.....
 Mkapa akipongezwa na mke wa Rais, Mama Salma......
 Waalikwa......
 Wageni waalikwa wakigonganisha glasi wakati wa sampeni......
 Zawadi.......akikabidhiwa mkapa......
 Rais Mstaafu Mkapa, akizungumza wakati wa sherehe hiyo...
 Makamu wa Rais Dkt.Bilal, akizungumza kwa niaba ya Serikali.....
 Makamu wa Rais Dkt. Bilal. akimpongeza Mkapa......
Picha ya pamoja
 
PICHA KWA HISANI YA SUFIANI MAFOTO BLOG

0 comments:

 
Supported byBlogs za Mikoa
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa