Waziri
wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mathias Chikawe wa kwanza kutoka kushoto
akisikiliza jambo kutoka kwa Balozi wa China Nchini Tanzania wa tatu
kutoka kushoto LU Youqing baada ya Balozi huyo kumtembelea Waziri
Chikawe Ofisini kwake leo kwa lengo la kujitambulisha.Hivi karibuni Rais
Jakaya Mrisho Kikwete Alimteuwa Waziri Mathias Chikawe Kuiongoza Wizara
ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
0 comments:
Post a Comment