Home » » JE WOTE WANAOFANYA BIASHARA KATIKA ENEO HILI HAWAJUI KUSOMA? WAHUSIKA MMECHUKUA HATUA GANI?

JE WOTE WANAOFANYA BIASHARA KATIKA ENEO HILI HAWAJUI KUSOMA? WAHUSIKA MMECHUKUA HATUA GANI?


Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 
 Hapa Biashara zinaendelea kama kawaida , mpaka kwenye hiki kibao Biashara zinasonga tuu
 Zaidi ya vibao vitatu  vinaonesha onyo la kutofanya biashara hapa lakini hawa wala hawana habari.

Picha na Dar es salaam yetu Blog

0 comments:

 
Supported byBlogs za Mikoa
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa