Waziri
Mkuu wa Tanzania Mheshimiwa Mizengo Pinda akizungumza na waandishi wa
habari nje ya Hotel ya Serena ambapo alihudhuria Mkutano wa Tano
unaohusu masuala ya Uchumi,kulia kwake ni mkurugenzi wa benki ya Dunia
nchini Ndugu Philippe Dongier.
Mkurugenzi
wa Benki ya Dunia nchini Tanzania Philippe Dongier akizungumza na
waandishi wa habari kwenye ukumbi wa kivukoni Serena Hotel jijini Dar es
Salaam, akiwa pamoja na Mwandishi wa Mada Ndugu Jacques Morisset ambapo
aliwaeleza waandishi hao Tanzania ina nafasi kubwa ya kupanua wigo wa
ajira kwa kutengeneza mazingira ya kufanyia kazi yenye ubora hasa
kwenye miji inayokuwa kwa kasi hii itasaidia kupunguza tatizo la ajira
kwa Vijana na Wanawake.
Mkurugenzi
wa Benki ya Dunia nchini Tanzania
Philippe Dongier akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa
kivukoni Serena Hotel jijini Dar es Salaam, akiwa pamoja na Mwandishi wa
Mada Ndugu Jacques Morisset ambapo alikiri pamoja na kukua kwa uchumi
lakini bado uchumi haujafungua au kutengeneza ajira kwa wananchi . Picha
na Adam Mzee
0 comments:
Post a Comment