Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com
Home » » MSIKITI WA MTAMBANI WAUNGUA MOTE TENA

MSIKITI WA MTAMBANI WAUNGUA MOTE TENA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.



 Wananchi wakiwa nje ya Msikiti wa Mtambani uliopo Kinondoni wakishuhudia tukio la kuungua moto kwa mara ya pili msikiti huo Dar es Salaam leo.
 Waumini wa msikiti huo pamoja na wananchi wakisaidia kuvuta mpira wa maji kwa ajili ya kuzima moto huo.
 Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU), wakiimarisha ulinzi eneo la tukio.
 Askari wa Kikosi cha Uokoaji wakifunga mpira wa maji baada ya kuudhibiti moto huo.

 Wananchi wakiangalia madawati na vyombo vingine vilivyookolewa katika tukio hilo.
 Heka heka za uzimaji moto zikiendelea. (Imeandaliwa na mtandao wa habari za jamii.com-simu namba 0712-727062)
 Waokoaji wakiwa wamebeba zuria wakiingiza ndani ya msikiti huo baada ya kuzimwa  moto.
 Waokoaji wakiwa wamebeba zuria wakiingiza ndani ya msikiti huo baada ya kuzimwa  moto.
Mmoja wa waumini wa msikiti huo akilia 
baada ya kutokea kwa ajali hiyo.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa