Home » » JAHAZI LINALODHANIWA KUWA NA SHEHENA YA DAWA ZA KULEVYA LAKAMATWA JIJINI DAR

JAHAZI LINALODHANIWA KUWA NA SHEHENA YA DAWA ZA KULEVYA LAKAMATWA JIJINI DAR


Jeshi la Polisi kikosi cha wanamaji limekamata jahazi moja ambalo linatoka nchini Irani ambalo linadaiwa kuwa na shehena ya dawa za kulevya.

Akizungumza kuhusu tukio hilo kamanda wa kikosi hicho kamanda Mboje Kanga amesema walilikamata jahazi hilo baada ya kulitilia shaka na ndani yake wapo watu.

CHANZO EDDY BLOG
Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.

0 comments:

 
Supported byBlogs za Mikoa
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa