
Jeshi
la Polisi kikosi cha wanamaji limekamata jahazi moja ambalo linatoka
nchini Irani ambalo linadaiwa kuwa na shehena ya dawa za kulevya.
Akizungumza kuhusu tukio hilo kamanda wa kikosi hicho kamanda Mboje Kanga
amesema walilikamata jahazi hilo baada ya kulitilia shaka na ndani yake
wapo watu.
CHANZO EDDY BLOG
Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
0 comments:
Post a Comment