Hivi
ndivyo walivyo katika hoteli wakijiandaa na mapokezi ya Waziri Mkuu
Mstaafu,Edward Lowassa katika hoteli ya bahari beachi jijini Dar es
Salaam
Mbunge
wa Kawe na Mwenyekiti wa Bawacha,Halima Mdee akifakari kulia kwake ni
Mzee Kimesera leo katika waandishi wa habari leo katika Hoteli ya Bahari
Beach jijini Dar es Salaam,
Sehemu ya kamera zikisubiri kuwasili kwa kiongozi huyo katika hoteli ya Bahari Beach jijini Dar es Salaam.
Waandishi
habari na baadhi ya viongozi wa vyama mbalimbali wanaounda Umoja wa
Katiba ya Wananchi UKAWA wakimsubiri Waziri Mkuu Mstaafu,Edward
Lowassaa kwa ajili ya kujiunga na UKAWA ,baada ya muda mfupi tutawaletea
chama anchajiunga nacho.
Kwa hisani ya Michuzi Media
0 comments:
Post a Comment