Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akizungumza na Wafanyabiashara wa ECG na Al Kan kutoka nchini Misri,
wakati walipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Julai
29, 2015 kwa mazungumzo.
Picha na OMR
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akiwa katika picha ya pamoja na Wafanyabiashara wa ECG AL Kan kutoka
nchini Misri, baada ya kumalizika kwa mazungumzo yao yaliyofanyika
Ofisini kwa Makamu Ikulu jijini Dar es Salaam,leo Julai, 29, 2015.
0 comments:
Post a Comment