Wananchi wa Jimbo la Ukonga wamempongeza nyumbani kwake mgombea ubunge wa jimbo hilo aliyeibuka kidedea,Jerry Silaa.
Silaa aliibuka kidedea kwa kupata kura 10,382 huku mshindani wake PATEL Ramesh akipata kura 7355. Mgombea
ubunge huyo aliwashukuru wananchi na wanaCCM waliokwenda nyumbani
kumpongeza na kuwapongeza wagombea wenzake wote,na kuongeza kuwa wiki
moja waliyokuwa pamoja amejifunza mengi, anaamini watashirikiana
kufanikisha Ushindi wa CCM October 25.
0 comments:
Post a Comment