Home »
» BAADHI YA WAFANYAKAZI WA TRL WAFIKISHWA MAHAKAMA YA KISUTU JIJINI DAR ES SALAAM LEO
BAADHI YA WAFANYAKAZI WA TRL WAFIKISHWA MAHAKAMA YA KISUTU JIJINI DAR ES SALAAM LEO
Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Wafanyakazi wa Kampuni ya Shirika la Reli nchini Tanzania (TRL), wakiwafikishwa
katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Dalaam tayari kwa kusomewa mashitaka 9
yanayo wakabili likiwemo la tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka. (PICHA ZOTE NA KHAMIS MUSSA)
Baadhi wa wafanyakazi wa Kampuni ya Reli nchini Tanzania (TRL), wakiwa katika chumba cha mahakama ya Kisutu tayari kwa kusomewa mashitaka 9 yanayo wakabili likiwemo la tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka, wapili kulia ni aliyekuwa Mkurugenzi wa shirika hilo, Mhandisi Kapallo Kisamfu
0 comments:
Post a Comment