Home » » Idara ya Habari -MAELEZO yakabidhiwa tuzo ya utambuzi wa kutangaza shughuli mbalimbali za makumbusho na historia nchini.

Idara ya Habari -MAELEZO yakabidhiwa tuzo ya utambuzi wa kutangaza shughuli mbalimbali za makumbusho na historia nchini.

Mkurugenzi Mkuu wa Makumbusho ya Taifa Prof. Audax Mabulla (kushoto) akimkabidhi Mkurugenzi wa Idara ya habari-MAELEZO Bw. Hasaan Abbasi tuzo ya ushiriki wa idara hiyo katika kisaidia kutangaza shughuli mbalimbali za makumbusho na historia nchini.

0 comments:

 
Supported byBlogs za Mikoa
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa