Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli
katika picha ya kumbukumbu na Balozi wa Uturuki nchini Mhe. Yasemin
Eralp walipokutana kwa mazungumzo Ikulu jijini Dar es salaam leo
Desemba 23, 20176.Wengine kutoka kushoto ni Balozi zuhura Bundala, Balozi Joseph
Sokoine na Bw. Hassan Mwamweta wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano
wa Kikanda na Kimataifa.
PICHA NA IKULU
0 comments:
Post a Comment