Waziri wa Nchi
Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Ajira na Watu wenye Ulemavu) Mhe.
Jenista Mhagama (Mb) akizungumza jambo wakati wa Mkutano na Viongozi
wanawake wa Vyama vya wafanyakazi TUCTA walipokutana katika Ofisi zao
Dar es Salaam tarehe 19 Desemba, 2016.
Home »
» WAZIRI MHAGAMA AKUTANA NA VIONGOZI WANAWAKE WA VYAMA VYA WAFANYAKAZI TUCTA.
WAZIRI MHAGAMA AKUTANA NA VIONGOZI WANAWAKE WA VYAMA VYA WAFANYAKAZI TUCTA.
Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
0 comments:
Post a Comment