Mashabiki
wa Yanga wakiwalaki wachezaji wa timu hiyo baada ya kuwasili kwenye
Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), wakitokea Comoro
ambako mwishoni mwa wiki walicheza mechi ya kwanza hatua ya awali ya
Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Ngaya FC.
Mashabiki
wa Yanga wakiwalaki wachezaji wa timu hiyo baada ya kuwasili kwenye
Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), wakitokea Comoro
ambako mwishoni mwa wiki walicheza mechi ya kwanza hatua ya awali ya
Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Ngaya FC.
Wachezaji
na viongozi wa timu ya Yanga wakiwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa
Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), jijini Dar es Salaam jana, wakitokea
Comoro ambako mwishoni mwa wiki walicheza mechi ya kwanza hatua ya
awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Ngaya FC.
Wachezaji
na viongozi wa timu ya Yanga wakiwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa
Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), jijini Dar es Salaam jana, wakitokea
Comoro ambako mwishoni mwa wiki walicheza mechi ya kwanza hatua ya
awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Ngaya FC. (Picha na Francis
Dande).
Viongozi wakiwasili leo.
0 comments:
Post a Comment