Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com
Home » » Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu yatembelea kampuni ya simu za mkononi Tigo.

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu yatembelea kampuni ya simu za mkononi Tigo.

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Wajumbe wa kamati ya kudumu ya bunge ya Miundombinu ya Bunge la Jamhuri ya Muungano Tanzania wakiwasili kwenye ofisi za Tigo Jijini Dar Es salaam leo


Mkurugenzi Mtendaji  wa Tigo Tanzania, Diego Gutierrez akiwakaribisha wajumbe wa kamati ya kudumu ya Miundo mbinu, mara baada ya kuwasili katika ofisi za Tigo Kijitonyama leo.

Mkurugenzi Mtendaji  wa Tigo Tanzania, Diego Gutierrez akiwakaribisha wajumbe wa kamati ya kudumu ya Miundo mbinu, mara baada ya kuwasili katika ofisi za Tigo Kijitonyama leo.

  Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya  bunge ya Miundo mbinu, Prof. Norman Sigalla  akifafanua jambo kwa Mkurugenzi Mtendaji  wa Tigo Tanzania, Diego Gutierrez na mjumbe wa kamati hiyo.

  Mkurugenzi Mtendaji  wa Tigo Tanzania, Diego Gutierrez akiongea na wajumbe wa kamati ya kudumu ya bunge ya miundombinu kwenye kikao kilichofanyika leo ofisi za Tigo jijini Dar Es Salaam.

  Mkurugenzi Mtendaji  wa Tigo Tanzania, Diego Gutierrez akifafanua jambo  kwa  wajumbe wa kamati ya kudumu ya bunge ya miundombinu kwenye kikao kilichofanyika leo ofisi za Tigo jijini Dar Es Salaam.

. Mjumbe wa kamati ya Miundombinu ya bunge la Jamhuri ya Muungano Tanzania Mh. Anna Tibaijuka akiongea na wafanyakazi wa Tigo


Ofisa Mkuu wa Kitengo cha Ufundi Tigo,Jerome Albou, akifafanua jambo kwa wajumbe wa kamati ya miundombinu ya bunge la Tanzania walipotembelea ofisi za Tigo leo  

. Mjumbe wa kamati ya Miundombinu ya bunge la Jamhuri ya Muungano Tanzania Mh. Anna Tibaijuka akiongea na wafanyakazi wa Tigo


 Mkurugenzi Mtendaji  wa Tigo Tanzania, Diego Gutierrez akiongea na wajumbe wa kamati ya kudumu ya bunge ya miundombinu kwenye kikao kilichofanyika leo ofisi za Tigo jijini Dar Es Salaam.


0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa