Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com
Home » » NI USIKU WA SCHOLASTTICA

NI USIKU WA SCHOLASTTICA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 

 
 Sifa zote njema ni zake Mwenyezi Mungu Mtukufu aliyezikusanya Sekunde zikawa dakika, dakika zikawa Saa, saa zikafanya siku zilizounda wiki kisha zikawa mwezi kabla ya mwaka, kalne au jubilee. Nakushukuru  kwa dhati kwa wema na mapenzi yako Mungu uliyeichagua tarehe ya leo kutimiza miaka kadha ya umuri wangu. Aidha nakuomba uwahurumie wazazi wangu, ambao uliwateua kua sababu ya mimi kuja ulimwenguni, kama walivyonihurumia nilipokuwa mtoto. Walipe malipo mema kwa wema wao kwangu na uwajaliye (Amiin). Happy Birthday to Me.

 Mungu ninakuomba kwa huruma yako mzidishie mema baba yangu, Theado Liya aliyetangulia mbelea ya haki na umpumzishe katika nyumba yake ya milele, apumzike kwa amani na mwanga wa milele umpe eebwana. (Amiin)
 Mungu ninakuomba kwa huruma yako mzidishie mema mama yangu mzazi, Agnes Nasoro umuri mrefu katika Dunia umuondolee maradhi (Amiin). (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa