Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com
Home » » TIGO YATOA MSAADA KWA WATOTO YATIMA MKOANI IRINGA

TIGO YATOA MSAADA KWA WATOTO YATIMA MKOANI IRINGA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.

. Mkurugenzi wa kampuni ya Tigo Nyanda za juu kusini Bwana Jackson Kiswaga akizungumza na wananchi waliojitokeza wakati wa kugawa msaada katika kituo cha watoto Dairlybread kilichopo kata ya Nzihi, akiwa na baadhi ya viongozi wa kata hiyo.


Mwenyekiti wa kata ya Nzihi akifafanua jambo mbele ya wananchi na watoto wa kituo cha Dairlbread kilichopo kata ya Nzihi mkoani Iringa.

Baadhi ya watumishi wa kituo cha kulea watoto cha Dairlbread cha kata ya Nzihi  wakijitambulisha wao na watoto mbele ya mkurugenzo wa kampuni ya Tigo nyanda za juu kusini Bw. Jackson Kiswaga hayupo pichani. 





Mkurugenzi wa Tigo kanda ya nyanda za juu kusini, Jackson Kiswaga akikabidhi misaada ya vyakula na mahitaji mengine  kwa vituo vya watoto wenye uhitaji  vya Daily Bread Ahsante Sana na Kipera Disabled  mkoani Iringa juzi.


0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa