Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
|
. Mkurugenzi wa kampuni ya Tigo Nyanda za juu kusini Bwana Jackson Kiswaga akizungumza na wananchi waliojitokeza wakati wa kugawa msaada katika kituo cha watoto Dairlybread kilichopo kata ya Nzihi, akiwa na baadhi ya viongozi wa kata hiyo.
|
|
Mwenyekiti wa kata ya Nzihi akifafanua jambo
mbele ya wananchi na watoto wa kituo cha Dairlbread kilichopo kata ya Nzihi
mkoani Iringa. |
|
Baadhi
ya watumishi wa kituo cha kulea watoto cha Dairlbread cha kata ya Nzihi wakijitambulisha wao na watoto mbele ya
mkurugenzo wa kampuni ya Tigo nyanda za juu kusini Bw. Jackson Kiswaga hayupo
pichani.
|
|
Mkurugenzi wa Tigo kanda ya nyanda za juu kusini, Jackson Kiswaga akikabidhi misaada ya vyakula na mahitaji mengine kwa vituo vya watoto wenye uhitaji vya Daily Bread Ahsante Sana na Kipera Disabled mkoani Iringa juzi. |
0 comments:
Post a Comment