Diwani Viti Maalum Kata ya Chang'ombe Temeke,Mwanakombo Mwinyimbegu katika picha ya pamoja na watoto hao kabla ya kukabidhi msaada huo
Diwani Viti Maalum Kata ya Chang'ombe Temeke,Mwanakombo Mwinyimbegu akimkabidhi baadhi ya msaada hiyo Mtoto Jamila Kibaja ambaye anasom Shule ya Msingi Mgulanilani Jijini Dar es Salaam
Diwani Viti Maalum Kata ya Chang'ombe Temeke Mwanakombo Mwinyimbegu akisunguma na wanahabari baada ya kutowa Msaad a hiyo katika kituo cha kulelea watoto yatima cha Hiyari
Moja wa watoto hao,Fatuma Chitanda (17) anayesom katika Shule ya Sekondari ya Wailes akitowa shukrani kwa Diwani huyo na kumuombea azidi kuwakumbuka,wamejisikia faraja baada ya Diwani huyo kufika Kituoni hapo na alisema anaomba na wengine wazidi kuwapa faraja japo hata kuwatembelea nakujuwa changamoto zinazo wakabili zikiwemo na ufinyu wa eneo kwani hata pakuchezea hawana.
0 comments:
Post a Comment