Home »
» LAPF YAIBUKA KIDEDEA KATIKA MIFUKO YA KIJAMII KWENYE MAONYESHO YA SABASABA
LAPF YAIBUKA KIDEDEA KATIKA MIFUKO YA KIJAMII KWENYE MAONYESHO YA SABASABA
Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
|
Meneja
Masoko na Mawasiliano wa Mfuko wa Pension wa LAPF Bwana James Mlowe akipokea
tuzo kutoka kwa Rais JP Magufuli baada ya LAPF kuwa mshindi wa Kwanza katika
maonyesho ya 41 ya sabasaba katika kategori ya mifuko ya Hifadhi ya
jamii, Kulia ni Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage Mapema leo Jijini Dar es salaam.
|
|
Meneja masoko na mawasiliano wa Mfuko wa Pension wa LAPF Bwana James Mlowe Akipokea tuzo kutoka kwa Rais wa JP Magufuli baada ya LAPF kuwa mshindi wa kwanza katika maonyesho ya 41 ya sabasaba Mapema leo Jijini Dar es salaam.
|
|
Tuzo
ya Mshindi wa kwanza katika maonyesho ya 41 ya sabasaba katika viwanja vya Mwl
JK Nyerere barabara ya Kilwa DSM. Tuzo hii ilikabidhiwa kwa Mfuko wa Pensheni
wa LAPF na Raisi Dr. John Pombe Magufuli Mapema leo Jijini Dar es salaam.
|
|
Rehema
Mkamba afisa mwandamizi masoko na mawalisiliano Bi Rehema mkamba akoionyesha
tuzo baada ya LAPF Kuibuka mshindi wa kwanza katika kategori ua mifuko ya
hifadhi ya jamii na bima kwenye maonyesho ya 41 ya sabasaba 2017 Mapema leo Jijini Dar es salaam.
|
|
Wafanyakazi
wa LAPF nje ya banda lao wakifurahia tuzo yao ya kuwa mshindi wa kwanza
kategori ya mifuko ya Pensheni na Bima katika maonyesho ya 41 ya sabasaba
waliyokabidhiwa na Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dk John Pombe .
|
0 comments:
Post a Comment