Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com
Home » » MEYA WA JIJI LA ISAYA MWITA DAR AFANYA ZIARA KITUO CHA MABASI UBUNGO

MEYA WA JIJI LA ISAYA MWITA DAR AFANYA ZIARA KITUO CHA MABASI UBUNGO

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 

 Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es Salaam Isaya Mwita akizungumza na wafanyabiashara wa Stendi ya Mabasi Ubungo,wajumbe wa Kamati ya Fedha na uchumi ya Halmashauri ya Jiji alipofanya ziara ya kushtukiza katika kituo cha mabasi ubungo jana,kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa Jiji.
 Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es Salaam Isaya Mwita akiwasikiliza Askari Polisi wa Ubungo alipofanya ziara ya kushtukiza jana katika kituo cha mabasi yaendoyo mikoani. katikati Mwenye Shati jeupe ni Diwani wa kata ya segerea ambaye pia ni mjumbe wa Kamati ya fedha na uchumi ya Halmashauri ya Jiji, Patrick Asenga.wa kwanza kushoto ni Meneja wa Kituo cha mabasi ubungo Iman Kasagara.
  Meneja wa Kituo cha mabasi Ubungo , Iman Kasagara akizungumza na waandishi wa habari leo mara baada ya Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es Salaam Isaya Mwita na Kamati ya fedha na Uchumi walipofanya ziara ya kushtukiza katika kituo cha mabasi Ubungo.
 Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es Salaam Isaya Mwita akizungumza na waandishi wa habari jana alipofanya ziara ya kushtukiza ya kutembelea kituo cha mabasi ubungo. 
 Mbunge wa Jimbo la Ubungo, ambaye pia ni Mjumbe wa Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam akizungumza na waandishi wa habari jana kwenye ziara iliyofanywa na Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es Salaam na Kamati ya fedha ya jiji.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa