Diwani
Viti Maalum Kata ya Chang'ombe Temeke,Mwanakombo Mwinyimbegu katika
picha ya pamoja na watoto hao kabla ya kukabidhi msaada huo
Diwani Viti Maalum Kata ya Chang'ombe Temeke Mwanakombo Mwinyimbegu (mwenye kitambaa chekundu kichwani) akimkabidhi msaada hiyo,Shukuru Saidi mara alipofika katika Kituo cha Hiyari ambapo alitowa vitu Mbalimbali ikiwemo Mchele na Sukari. |
Diwani Viti Maalum Kata ya Chang'ombe Temeke,Mwanakombo Mwinyimbegu akimkabidhi baadhi ya msaada hiyo Mtoto Jamila Kibaja ambaye anasom Shule ya Msingi Mgulanilani Jijini Dar es Salaam
Diwani
Viti Maalum Kata ya Chang'ombe Temeke Mwanakombo Mwinyimbegu akisunguma
na wanahabari baada ya kutowa Msaad a hiyo katika kituo cha kulelea
watoto yatima cha Hiyari
Moja wa watoto hao,Fatuma Chitanda
(17) anayesoma katika Shule ya Sekondari ya Wailes akitowa shukrani kwa
Diwani huyo na kumuombea azidi kuwakumbuka,wamejisikia faraja baada ya
Diwani huyo kufika Kituoni hapo na alisema anaomba na wengine wazidi
kuwapa faraja japo hata kuwatembelea nakujuwa changamoto zinazo wakabili
zikiwemo na ufinyu wa eneo kwani hata pakuchezea hawana.
0 comments:
Post a Comment