Rais Dkt.
John Pombe Magufuli akizungumza na wafanyabiashara mbalimbali waliokuwa
katika Ukumbi wa Mikutano wakati wa Ufunguzi wa Maonyesho ya 41 ya
Biashara ya Kimataifa, yaliyoanza Juni 28 - Julai 8, 2017 ambapo kwa
mwaka huu yameongezewa siku tano zaidi na kutarajiwa kumalizika Julai
13, 2017.
Rais
Dkt. John Pombe Magufuli akimkabishi tuzo Makamu Mkuu wa Chuo kikuu cha
Dar es Salaam, Prof. Rwekaza Mukandala ambao wameibuka washindi wa jumla
katika Maonyesho ya Maonesho ya 41 ya Biashara ya Kimataifa, yaliyoanza
Juni 28 - Julai 8, 2017 ambapo kwa mwaka huu yameongezewa siku tano
zaidi na kutarajiwa kumalizika Julai 13, 2017.Maonesho hayo
yamezinduliwa rasmi leo jijini Dar es salaam.
Rais Dkt.
John Pombe Magufuli akimkabidhi tuzo Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni
ya Simu Tanzania (TTCL), Waziri Kindamba baada ya Kampuni yake kuibuka
washindi sekta ya mawasilioano, katika Maonyesho ya Maonyesho ya 41 ya
Biashara ya Kimataifa, yaliyoanza Juni 28 - Julai 8, 2017 ambapo kwa
mwaka huu yameongezewa siku tano zaidi na kutarajiwa kumalizika Julai
13, 2017, Maonesho hayo yamezinduliwa rasmi leo jijini Dar es salaam.
Kulia ni Waziri wa Viwanda na Biashara, Charles Mwijage.
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akikabidhi tuzo kwa mwakilishi wa TPDC.
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akikabidhi tuzo kwa Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Maj. Gen. Gaudence Milanzi kwa niaba ya moja ya taasisi zilizo chini ya Wizara hiyo.
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akikabidhi tuzo kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Property International Bw. A. Haleem ambao waliibuka washindi wa tatu wa jumla katika
Maonyesho ya Maonyesho ya 41 ya Biashara ya Kimataifa, yaliyoanza Juni
28 - Julai 8, 2017 ambapo kwa mwaka huu yameongezewa siku tano zaidi na
kutarajiwa kumalizika Julai 13, 2017, yaliyozinduliwa rasmi leo jijini
Dar es salaam.
Wakuu wa
Wilaya za Dar es salaam, Sophia Mjema (kulia - Ilala), Felix Lyaviva
(katikati - Temeke) pamoja na Hashim Mgandilwa (kushoto - Kigamboni)
wakiwa kwenye ufunguzi huo.
Wakuu wa vikosi vya Ulinzi na Usalama.
Kamishna Jenerali wa Uhamiaji Dr. Anna Peter Makakala.
0 comments:
Post a Comment