Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Kikosi
cha Rayon Sports cha Rwanda ndicho kitakachocheza na Simba katika mechi
ya Simba Day kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Kawaida
tamasha hilo hufanyika Agosti 8. Rayon imekubali kushiriki tamasha hilo
maarufu la Simba Day ambalo hufanyika mara moja kila mwaka.
Nchini Rwanda, Rayon ndiyo timu yenye mashabiki wengi zaidi ikifuatiwa na APR ambayo inamilikiwa na jeshi.
Kwa misimu miwili iliyopita, Rayon imeonyesha kiwango kizuri kisoka na kufanikiwa zaiid ya APR.
0 comments:
Post a Comment