Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com
Home » » IGP SIRRO AWASILI NCHINI AKITOKEA RWANDA

IGP SIRRO AWASILI NCHINI AKITOKEA RWANDA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 

 Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) Simon Sirro, akizungumza na Kaimu Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam (DCP) Lucas Mkondya, alipowasili nchini akitokea nchini Rwanda kwa ziara ya kikazi yenye lengo la kubadilishana uzoefu pamoja na kujadiliana juu ya njia za kukabiliana na uhalifu unaovuka mipaka, usafirishaji wa binadamu na biashara ya dawa za kulevya. 
 Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) Simon Sirro, akisalimiana na baadhi ya maofisa wa Jeshi hilo, waliofika kumpokea alipowasili kutoka nchini Rwanda alipokwenda kwa ziara ya kikazi yenye lengo la kubadilishana uzoefu pamoja na kujadiliana juu ya njia za kukabiliana na uhalifu unaovuka mipaka, usafirishaji wa binadamu na biashara ya dawa za kulevya. 
 Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) Simon Sirro (watano kulia) na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini Rwanda, Emmanuel Gassana(wanne kulia), wakiwa katika picha ya na Maofisa wa Jeshi la Polisi Nchini Rwanda, baada ya kumaliza kikao kazi. Picha na Jeshi la Polisi

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa