Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com
Home » » MIC TATA KUKUTANISHA BONGO FLAVA, SINGELI, TAARABU NA HIP HOP JUKWAA MOJA

MIC TATA KUKUTANISHA BONGO FLAVA, SINGELI, TAARABU NA HIP HOP JUKWAA MOJA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 

 Barnaba


 Dulla Makabila


 Manfongo


 Amigo


Joh Makini
Inspector Haroun

Uhuru FM kwa kushirikiana na Darlive inakuletea tamasha la Muziki  lijulikanalo kama MIC TATA litakalokutanisha miamba ya Muziki hapa  nchini litakalofanyika katika ukumbi wa Darlive-Mbagala Zakyeem Februari 24 Mwaka huu.

Mratibu wa show hiyo Said Ambua , amesema Wasanii watakaokutanishwa katika tamasha hilo la MIC TATA ni wa Bongo Flava, Singeli, Taarabu na Hip Hop.

Katika tamasha hilo la Muziki wasanii watakaokuwepo ni Barnaba, Inspector Haroun, Manfongo, Dula Makabila, Joh Makini kutoka Weusi na  kwa upande wa taarabu ni Amigo.

Tamasha hilo ambalo kiingilio chake ni shilingi 5,000 litafanyika kuanzia Saa Mbili usiku.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa