Home » » NSSF YAWATAKA TWCC KUCHANGAMKIA FURSA YA KUJIUNGA NA KUJIWEKEA AKIBA

NSSF YAWATAKA TWCC KUCHANGAMKIA FURSA YA KUJIUNGA NA KUJIWEKEA AKIBA

Meneja wa Sekta isiyo rasmi wa NSSF, Bi. Rehema Chuma akiwa na wafanyakazi wengine wa NSSF, wametembelea banda la Chemba ya Wanawake Wafanyabiashara Tanzania (TWCC), na kutoa elimu ya hifadhi ya jamii kwa wanachama wa Chemba hiyo wanaoshiriki Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (DITF), ambapo aliwaeleza umuhimu wa kujiwekea akiba kwa kujiunga na kuchangia NSSF ambapo kwa mwezi watachangia kiasi cha shilingi 30,000 kima cha Chini.


0 comments:

 
Supported byBlogs za Mikoa
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa