Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com
Home » » MISS ILALA 2014 ASHIRIKI CHAKULA CHA MCHANA NA WATOTO WA KITUO CHA MWANA ORPHANS CENTRE

MISS ILALA 2014 ASHIRIKI CHAKULA CHA MCHANA NA WATOTO WA KITUO CHA MWANA ORPHANS CENTRE


Miss Ilala 2014 Jihan Dimack, akiwanawisha mikono watoto yatima wa kituo cha Mwana Orphans Centre kilichopo Vingunguti jijini Dar es Salaam katika hafla ya chakula cha mchana iliyofanyika katika hoteli ya Cape Town Fish Market. (Picha na John Dande)

Miss Ilala 2014 Jihan Dimack, akiwagawia chakula watoto wanaolelewa na kituo cha kulelea watoto yatima cha Mwana Orphans Centre kilichopoVingunguti jijini Dar es Salaam katika hafla ya chakula cha mchana iliyofanyika juzi katika hoteliya Cape Town Fish Market. 
Miss Ilala 2014, Jihan Dimack akila chakula pamoja na watoto hao.
Miss 2014 Jihan Dimack akitoa zawadi kwa watoto hao.
Miss Ilala mwaka 2014 Jihan Dimack akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya watoto wanaolelewa na kituo cha kulelea watoto yatima cha Mwana Orphans Centre kilichopo Vingunguti jijini Dar es Salaam katika hafla ya chakula cha mchana,iliyofanyika katika hoteli ya Cape Town Fish Market.
Miss Ilala 2014 Jihan Dimack akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa hoteli ya Cape Town Fish Market.
Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa