Home » » MAKAMU WA RAIS DKT BILAL AKUTANA NA MABALOZI WA SAUDIA, UTURUKI NA VATCAN IKULU DAR LEO

MAKAMU WA RAIS DKT BILAL AKUTANA NA MABALOZI WA SAUDIA, UTURUKI NA VATCAN IKULU DAR LEO



 Makamuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akipokeazawadi kutoka kwa  Balozi wa Saudianchini Tanzania, Hani Abdullah Mo’minah, wakati alipomtembelea ofisini kwakeIkulu Dar es Salaam leo, kwa ajili ya mazungumzo.
 Makamuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,akizungumza na Balozi wa Vatcan nchini Tanzania, Francisco Montecillo, wakatialipomtembelea ofisini kwake Ikulu Dar es Salaam leo, kwa ajiliya mazungumzo.
Makamuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,akizungumza na Balozi wa Uturuki nchini Tanzania, Ali Davutoglu, wakatialipomtembelea ofisini kwake Ikulu Dar es Salaam leo, kwa ajiliya mazungumzo.
Picha na Sufian Muhidin V.P.O

0 comments:

 
Supported byBlogs za Mikoa
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa