Home » » WANANCHI WA ZILIZOKUA KOTA ZA BANDARI GEREZANI WAMEVAMIWA NA KUBOMOLEWA NYUMBA ZAO KINYUME NA SHERIA MAHAKAMA YAUNGANA NA SERIKALI KUWAUJUMU WANANCHI

WANANCHI WA ZILIZOKUA KOTA ZA BANDARI GEREZANI WAMEVAMIWA NA KUBOMOLEWA NYUMBA ZAO KINYUME NA SHERIA MAHAKAMA YAUNGANA NA SERIKALI KUWAUJUMU WANANCHI



Wakili

wa waliokuwa wenye nyumba zilizokua kota za Bandari na Trc, DKT.
Sengondo Mvuni akizungumza na wateja wake leo na kusema kua mahakama
iliungana na Serikali kuwahujumu Wananchi hawo kwa kua akuna notice ya
masaa sita tena kwa kutangaza katika kituo kimoja tu cha TV
Wakili
wa waliokuwa wenye nyumba zilizokua kota za Bandari na Trc, DKT.
Sengondo Mvuni akizungumza na waandishi wa habari Dar es salaam leo
kuhusu kufungua kesi ileile mahakamani
Baadhi ya wakazi waliokuwa kota za Bandari Gerezani wakisikiliza mada mbalimbali wakati wa mkutano wao leo
Mwenyekiti wa wakazi wa Kota za Bandari Bi Fatma Msindi akizungumza kwenye mkutano huo leo
Mwenekiti akiongea Bi, Fatma Msindi
Wakili
wa waliokuwa wenye nyumba zilizokua kota za Bandari na Trc, DKT.
Sengondo Mvuni akizungumza na wateja wake leo na kusema kua mahakama
iliungana na Serikali kuwahujumu Wananchi hawo

wananchi wakisikiliza mada zilizokuwa zikitolewa kuusu kesi yao ya msingi leo
Wakili
wa waliokuwa wenye nyumba zilizokua kota za Bandari na TRC, DKT.
Sengondo Mvuni akizungumza na wateja wake leo na kusema kua mahakama
iliungana na Serikali kuwahujumu Wananchi hawo

0 comments:

 
Supported byBlogs za Mikoa
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa