Home » » WASANII WAIOMBA BASATA KUUNDA KAMATI YA KUKAGUA KAZI ZA SANAA KUANZIA NGAZI ZA MITAA

WASANII WAIOMBA BASATA KUUNDA KAMATI YA KUKAGUA KAZI ZA SANAA KUANZIA NGAZI ZA MITAA



Na Mwandishi wetu

Wasanii wameliomba Baraza la Sanaa la Taifa(BASATA)kuunda kamati itakayo weza kufuatilia kazi za naa kuanzia ngazi za mitaa ilikupunguza ukiukwaji wa maadili uliojitokeza

Hayo yamezungumzwa katika jukwaa la sanaa ambapo mada iliyojadiliwa ilikuwa ni UNENGUAJI NA UVAAJI WA MALEBA (Nguo zinazo valiwa na msanii wakati wa uwasilishaji wa sanaa)KWA WASANII WA TANZANIA

Akitoa ufafanuzi juu ya jambo hilo mwanamuziki mkongwe Bwana Juma Ubao amesema kuwa haya yametokana na muingiliano wa sanaa toka nje ya nchi.


Pia Mtendaji mkuu wa Baraza la Sanaa Lataifa Bwana(......)ameagiza vyama na mitandao ya sanaa kukemea ukiukwaji wa maadili wakati wa maonesho mbalimnali

Agizo hilo limetolewa wakati wa majadiliano ya jinsi ya kuirudisha sanaa ya Tanzania katika maadili yanayo faa

wakitolea mifano baadhi ya vikundi vya sanaa hapa nchini baadhi yao wamekiri kwamba wasanii nichanzo kikubwa cha ukiukwaji wa maadili ya ki Tanzania kwa kutumia MALEBA yasiyo faa wawapo jukwaani

Mwisho wasanii wameiomba BASATA kuandaa semina itakayo husisha  Mtendaji mkuu wa Baraza la Sanaa Lataifa  ameagiza vyama na mitandao ya sanaa kukemea ukiukwaji wa maadili wakati wa maonesho mbalimnali

Agizo hilo limetolewa wakati wa majadiliano ya jinsi ya kuirudisha sanaa ya Tanzania katika maadili yanayo faa

wakitolea mifano baadhi ya vikundi vya sanaa hapa nchini baadhi yao wamekiri kwamba wasanii nichanzo kikubwa cha ukiukwaji wa maadili ya ki Tanzania kwa kutumia MALEBA yasiyo faa wawapo jukwaani

Mwisho wasanii wameiomba BASATA kuandaa semina itakayo husisha 

0 comments:

 
Supported byBlogs za Mikoa
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa