Home » » WASHINDI WA KWANZA WA JENERATA NA BAJAJ PROMOSHENI YA "VUMBUA HAZINA CHINI YA KIZIBO" WAPATIKANA

WASHINDI WA KWANZA WA JENERATA NA BAJAJ PROMOSHENI YA "VUMBUA HAZINA CHINI YA KIZIBO" WAPATIKANA


  Meneja wa Bia ya Serengeti Lager Allan Chonjo akiongea na waandishi 
wa habari wakati wa kutangaza washindi wa Promosheni Vumbua Hazina chini
ya Kizibo inayoendesha na kampuni ya bia ya Serengeti kupitia bia zake 
za Tusker Lager, Plisner Lager na Serengeti Lager, kulia ni Mkurugenzi 
wa Mawasiliano wa kampuni ya Serengeti (SBL) Teddy Mapunda.


Meneja wa Bia ya Serengeti Premium Lager Allan Chonjo akiongea na 
waandishi wa habari wakati wa kutangaza washindi wa Promosheni Vumbua 
Hazina chini ya Kizibo inayoendesha na kampuni ya bia ya Serengeti 
kupitia bia zake za Tusker Lager, Plisner Lager na Serengeti Lager, 
kutoka kulia ni Meneja wa bia ya Tusker Ritah Mchaki, Mrisho kutoka 
shirika la Bahati Nasibu ya Taifa na  Teddy Mapunda mkurugenzi wa 
Mawasiliano (SBL)






0 comments:

 
Supported byBlogs za Mikoa
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa