
Meneja wa Bia ya Serengeti Lager Allan Chonjo akiongea na waandishi
wa habari wakati wa kutangaza washindi wa Promosheni Vumbua Hazina chini
ya Kizibo inayoendesha na kampuni ya bia ya Serengeti kupitia bia zake
za Tusker Lager, Plisner Lager na Serengeti Lager, kulia ni Mkurugenzi
wa Mawasiliano wa kampuni ya Serengeti (SBL) Teddy Mapunda.

Meneja wa Bia ya Serengeti Premium Lager Allan Chonjo akiongea na
waandishi wa habari wakati wa kutangaza washindi wa Promosheni Vumbua
Hazina chini ya Kizibo inayoendesha na kampuni ya bia ya Serengeti
kupitia bia zake za Tusker Lager, Plisner Lager na Serengeti Lager,
kutoka kulia ni Meneja wa bia ya Tusker Ritah Mchaki, Mrisho kutoka
shirika la Bahati Nasibu ya Taifa na Teddy Mapunda mkurugenzi wa
Mawasiliano (SBL)
0 comments:
Post a Comment