Home » » HIVI NDIVYO WATUHUMIWA WA MAUAJI YA SWETU FUNDIKIRA, WALIVYO TUHUMIWA KIFO LEO. SHUHUDIA

HIVI NDIVYO WATUHUMIWA WA MAUAJI YA SWETU FUNDIKIRA, WALIVYO TUHUMIWA KIFO LEO. SHUHUDIA


 Marehemu Swetu Fundikira
 Wathumiwa wakiwa mahakamani Wwakisubiri hukumu
Ndugu jamaa na marafiki wakiwa wameketi mahakamni hapo kusubiri hukumu
 Mara baada ya hukumu kutajwa kulikuwa na mixed feeling na emotions, wa kushangilia walishangilia, wakumshukuru Mungu walifanya hivyo, na wakulia walilia. 
 Vilio na simanzi vilitawala pande zote
 Furaha na vilio vikiendelea
 Ushindi

Mkala (katikati) alikuwa mstari wa mbele kuhakikisha kaka yake katendewa haki na leo hii Swetu ammeweza kupata haki yake na tunaamini kabisa roho yake itapumzika kwa amani
Watuhumiwa waliohukumiwa kifo kutokana na mauaji ya Fundikira.
---

WATUHUMIWA katika mauaji ya Swetu Fundikira,  MTM 1900 Sajenti Roda Robert (42) wa kikosi cha JKT - Mbweni na MT 75854 Koplo Ally Ngumbe (37) wa JWTZ-Kunduchi leo wamehukumiwa kifo baada ya kupatikana na hatia na Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam.







0 comments:

 
Supported byBlogs za Mikoa
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa