Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akizungumza a Shekh Noordin Kishk (katikati) na Mwenyekiti wa Taasisi ya Waarabu tanzania , Said Said Mohamed (kulia) baada ya kuzindua Taasisi hiyo kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam Novemba 18,2012.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akisalimiana na Katibu Mkuu wa Taasisi ya Waarabu Tanzania, Mohamed Suqry baada ya kuzindua Taasisi hiyo kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam.
0 comments:
Post a Comment