Home » » Watumishi wa Ofisi Ndogo ya CCM Lumumba Jijini Dar es Salaam,Wawakaribisha Viongozi Wapya wa Sekretarieti ya CCM

Watumishi wa Ofisi Ndogo ya CCM Lumumba Jijini Dar es Salaam,Wawakaribisha Viongozi Wapya wa Sekretarieti ya CCM



Katibu Mkuu wa CCM,Abdulrahaman Kinana,akisalimiana na Katibu wa Mkoa wa
Vyuo Vikuu ,Christopher Ngubiagai, leo tarehe 19/11/2012 , Ofisi Ndogo
CCM  Lumumba.
Katibu wa Uchumi wa Fedha Mama Zakhia Meghji akipokelewa makao Makuu ya Chama, Ofisi Ndogo Lumumba.
Dk.Asha Rose Migiro,Katibu wa siasa na uhusiano wa kimataifa akipokelewa kwa furaha. CCM Ofisi ndogo Lumumba.

Picha na Bashiri Nkromo-Idara ya itikadi na Uenezi-CCM

0 comments:

 
Supported byBlogs za Mikoa
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa