Waziri wa Fedha Dkt. William Mgimwa akimpongeza Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Uthibiti wa Manunuzi ya Umma Dkt. Ramadhani S. Mlinga kwa uwasilishaji wa ripoti ya mwaka 2011/2012.
Kaimu Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya uthibiti wa Manunuzi ya Umma Jaji Thomas B. Mihayo akikabidhi ripoti ya utendaji ya mwaka 2011/2012 kwa Waziri wa Fedha Dkt. William Mgimwa.
Mhe. Waziri wa Fedha Dkt. William Mgimwa akisikiliza hotuba aliyokuwa akitoa Kaimu Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Uthibiti wa Manunuzi ya umma Jaji Thomas B. Mihayo.
0 comments:
Post a Comment