Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com
Home » » Tanzania na Burundi zasaini Barua ya Kuomba Msaada wa Kuimarisha Mpaka

Tanzania na Burundi zasaini Barua ya Kuomba Msaada wa Kuimarisha Mpaka


Mhe.Balozi  Rajabu Gamaha, Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa (kulia) na Balozi Albert Shingiro, Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Burundi wakiweka saini barua ya pamoja kwa niaba ya Serikali ya Nchi zao ambayo itawasilishwa kwenye Shirika la Kijerumani la GIZ ili kuomba msaada wa kuimarisha mpaka kati ya Tanzania na Burundi.
Balozi Gamaha kulia akibadilishana mawazo na Balozi Shingiro mara baada ya zoezi la uwekaji saini barua kukamilika.
Ujumbe wa Serikali ya Burundi uliofuatana na Balozi Shingiro ukifuatilia mazungumzo kati ya Balozi Gamaha na Balozi Shingiro ambao hawapo pichani. Picha na mpiganaji Ally Kondo wa Wizara ya mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa