Kassian na mkewe Sabina wakiwa katika pozi la picha baada
ya kufunga ndoa yao iliyofanyika katika Kanisa Katoliki la Chang,ombe jijini Dar es Salaam, na kufuatiwa na Sherehe ya kubwa iliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Lamada jijini.
ya kufunga ndoa yao iliyofanyika katika Kanisa Katoliki la Chang,ombe jijini Dar es Salaam, na kufuatiwa na Sherehe ya kubwa iliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Lamada jijini.
Bwana Harusi
ni mwajiriwa katika Wizara ya Habari Vijana Utamaduni na Michezo na Bi Harusi
ni mwajiriwa katika
Chuo cha Elimu ya Biashara CBE.
Chuo cha Elimu ya Biashara CBE.
Kassian Ernest akimvisha pete ya ndoa
mkewe Sabina Alexander katika Ibada ya misa takatifu ndoa yao
iliyofanyika katika Kanisa Katoliki Chang,ombe jijini Dar es Salaam, na kufuatiwa na
Sherehe ya kubwa iliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Lamada
jijini .
Bwana Harusi ni mwajiriwa katika Wizara ya Habari Vijana Utamaduni
na Michezo na Bi Harusi ni mwajiriwa katika Chuo cha Elimu ya
Biashara CBE.
0 comments:
Post a Comment