Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimwapisha Msajili wa Vyama vya Siasa mpya Jaji Francis Mutungi Ikulu jijini Dar es salaam .
 
 
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimmshuhudia  Msajili wa Vyama vya Siasa 
mpya Jaji Francis Mutungi  wakati akitia saini mara baada ya kuapishwa 
Ikulu jijini Dar es salaam .
  
 
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimmkabidhi vitendea kazi  Msajili wa Vyama
 vya Siasa mpya Jaji Francis Mutungi Ikulu jijini Dar es salaam .
  
 
Rais
 Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na  Msajili wa Vyama
 vya Siasa mpya Jaji Francis Mutungi na viongozi wa vyama vya siasa 
Ikulu jijini Dar es salaam .
  
 
Rais
 Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Msajili wa Vyama vya Siasa Mstaafu Jaji 
Francis Mutungi na Msajili wa Vyama vya Siasa Mstaafu Mhe John 
Tendwabaada ya kumuapisha Jaji Mutungi Ikulu jijini Dar es salaam (picha na Ikulu)
 
 
 
0 comments:
Post a Comment