Home » » JAMANI MTUKUMBUKE HUKU USWAHILINI

JAMANI MTUKUMBUKE HUKU USWAHILINI


 Wafanya biashara wakiendelea na biashara pembezoni ya maji machafu na pia maji hayo yanatoa  harufu mbaya eneo la Tandika baada ya mvua kunyesha kwa siku moja
Haya ndio maji machafu yaliyoko kwenye stendi ya mabasi ya Tandika



  Kama kawaida vijana wakiendelea na kazi
Na Pamoja Pure

0 comments:

 
Supported byBlogs za Mikoa
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa