Home » » MAREHEMU MWANTUM ATHUMAN KUZIKWA LEO MAKABURI YA MBURAHATI JIJINI DAR ES SALAAM

MAREHEMU MWANTUM ATHUMAN KUZIKWA LEO MAKABURI YA MBURAHATI JIJINI DAR ES SALAAM

Kutoka kushoto ni wanenguaji Aisha Madinda, Otilia Boniface na Marehemu Mwantum Athuman wakilishambulia jukwaa.

Mnenguaji wa Bendi ya Extra Bongo, Mwantum Athuman amefariki dunia jana katika Hospitali ya Mwananyamala, jijini Dar es Salaam baada ya kusumbuliwa na ugonjwa wa mapafu kujaa maji. Marehemu Mwantum atazikwa leo saa 10 katika Makaburi ya Mburahati, Dar. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. AMEN!
GLOBAL PUBLISHERS

0 comments:

 
Supported byBlogs za Mikoa
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa