Kituo cha matibabu ya vidonda vya tumbo Cha Rahabu Ulcers Clinic Centre Cha jijini Dar es Salaam, kimemkabidhi tuzo ya heshima Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli,Mh. Edward Lowassa kwa kutambua mchango wake mkubwa katika jamii.Pichani Mkurugenzi Mkuu wa Kituo hicho,Dk. Rahabu Rubago(katikati) akimkabidhi Mh Lowassa tuzo hiyo.Kulia ni Meneja Mkuu wa Kituo hicho Catherine Kahabi.
Picha kwa Hisani ya Issa Michuzi Blog
Picha kwa Hisani ya Issa Michuzi Blog
0 comments:
Post a Comment